Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtikisiko wa uwekezaji, uimara wa soko Tanzania

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Ongezeko la uwazi katika uwekezaji, usalama na uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji nchini umetajwa kuwa chachu ya kuongezeka kwa wawekezaji nchini.

Ongezeko la uwazi katika uwekezaji, usalama na uboreshaji wa mazingira ya uwekezaji nchini umetajwa kuwa chachu ya kuongezeka kwa wawekezaji nchini.

Hayo yamebainishwa na Afisa Mtendaji Mkuu Soko la Hisa la Dar es Salaam DSE Moremi Marwa ambapo amesema licha ya nchi mbalimbali kutetereka katika uwekezaji haswa wa hisa kutokana na Covid-19 bado Tanzania wawekezaji wa ndani na nje wameendelea kuamini mazingira ya uwekezaji.

"Sio mataifa makubwa tu yakiwemo Marekani,Japan na mengine ambayo yameathirika na suala la Covid 19 Kenya imetajwa kushuka zaidi na hali hii hutokea wakati wote kukiwa na majanga ila baada ya msimu ila wengi kufanya maamuzi kwa kitu ambacho hakina athari sana"

Moremi ameshauri wawekezaji kutumia msimu huu ambao masoko mengi ya dhamana na mitaji yameonekana kushuka haswa kwenye hisa kwani bado ni uwekezaji ambao unafaida wakati soko litakapoimarika.

"Wawekezaji wengi wamewekeza katika hatifungani za serikali ambayo mara nyingi yametajwa kuwa na uhakika wa kupata fedha zao inafanyika katika mataifa mbalimbali maana hiyo ni mbinu ya kibiashara"

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa