Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkurugenzi wa Benki ya NCBA atembelea IPP Media

Ijumaa , 4th Sep , 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NCBA Margaret Karume, ametembelea ofisi za IPP Media kwa lengo la kujionea namna gani vyombo vyake vya ITV, Radio One, Capital Radio na TV, EATV & EA Radio na The Guardian vinavyofanya kazi zake.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NCBA Margaret Karume

Mkurugenzi huo amefika katika ofisi hizo hii leo Septemba 4, 2020, akiongozana na watendaji wake na kuvipongeza vyombo hivyo kwa namna vinavyogusa jamii kwa ujumla hususani akina  mama na vijana ambao ni sehemu kubwa ya jamii.

"Nimekuwa kwenye ziara hapa IPP Media, nimetembelea kitengo cha uandishi wa habari, cha uchapishaji, nimetembelea Radio na TV operesheni zake zinavutia sana, wakati unaingia katikati unakutana na mazingira mazuri ya kitaalamu kadri unavyozidi kwenda kwenye studio unapata kuona yanayojiri katika kuandaa habari”, amesema Margaret Karume

Aidha Margaret amesema kitu kinachovutia zaidi katika vyombo vya habari vya IPP ni huduma wanazotoa kwa vijana ,wanawake na wafanyabiashara ambazo zinaendana na kauli mbiu ya Benki ya NCBA.

“Kitu cha kuvutia zaidi IPP Media ni kuwa na studio nyingi na wanauwezo wa kuwahudumia vijana, wanawake na wafanyabiashara, hii ni hadithi moja inayoashiria ukuu na inaenda na kauli mbiu ya benki ya NCBA” amesema Margaret Karume.

"Nimebahatika kukutana na wafanyakazi wakarimu sana na angalau nimepata mwangaza wa kujua yale yanayojiri ili kupata habari tunazoziona kwenye Televisheni, nimeweza kuona jinsi gani magazeti yanachapishwa, nimepelekwa kwenye Radio na kuona jinsi habari zinavyoletwa pamoja", ameomgeza.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa