Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbinu ya kupunguza upotevu mazao ya uvuvi yaja

Jumatano , 16th Nov , 2022

Kutokana na kuongezeka kwa idadi ya watu baada ya kutangazwa matokezo ya sensa ya mwaka huu Taasisi ya utafiti wa uvuvi nchini TAFIRI imeona ipo haja ya kuongeza jitihada za kupunguza upotevu wa mazao ya uvuvi ili kuongeza uzalishaji wa Samaki

Katika mafunzo maalum ambayo yameandaliwa na shirika la chakula na kilimo la umoja wa Matifa FAO ambalo limewakutanisha wadau na wataalam wa uvuvi ikiwa ni uratibu wa kubaini namna ya kupambana na tatizo hilo.lengo lake likiwa ni kupata takwimu halisi na baadae kujikita katika ufatiliaji na udhibiti wa tatizo hilo la kupunguza upotevu wa mazao ya uvuvi

‘Sasa kama walaji wa samaki wanaongezeka na kiwango cha uzalishaji kiko palepale ina maana ni lazima utafute mbadala wake na mbadala mwepesi ni kupunguza uharibifu unaotokea kwenye mazao ya uvuvi baada ya kuvua hili group litoke sasa liwe ndiyo mwenezaji wa hii Habari kwa watu wengine wengi Zaidi tukishapata jeshi la kutosha basi tuingie kutafuta takwimu za uharibifu wa mazao ya uvuvi na hatimaye tuweke mbinu na mkakati wa kushughulikia hilo tatizo’

Kwa upande wake mwakilishi wa mkurugenzi mkuu TAFIRI Hillary Mroso amesema utafiti huo utasaidia kujua hadi sasa kuna uzalishaji kiasi gani wa mazao ya uvuvi na mahitaji ni yapi

Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima, mkuu wa wilaya ya Magu Salum Kalli akatoa neno la serikali kwa kuwataka kutumia mafunzo hayo kutoa elimu Zaidi ya kudhibiti upotevu wa mazao ya uvuvi
‘Tujifunze namna ya kutunza mazalia ya samaki na namna ya kuelisha wavuvi kuvua kwenye uvuvi wa kistaarabu uvuvi unaoendana na maekezo ya mwenyekiti na wataalamu kutoka nje ya nchi ili tukuze pato la Samaki ili liyusaidie duniani’
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa