Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Changamoto ya Mawe ya Urembo

Ijumaa , 18th Sep , 2020

Wafanyabiashara wa mawe ya urembo (Tarazo) ambayo hutumiwa katika kunakishi majengo mbali mbali walioko kawe beach jijini, Dar es salaam, wameiomba serikali kupitia wizara ya madini kupunguza gharama ya upatikanaji wa leseni ya biashara hiyo kwa kuwa  wanalazimika pia kulipa kodi,

Picha ya mfano wa Mawe ya Urembo.

pamoja na vibali vingine.

Watu wengi hupendelea kuyatumia mawe haya kama urembo katika ujenzi na mapambo kwenye maeneo mbalimbali jambo ambalo limechagiza kushamiri kwa biashara hiyo na kupelekea baadhi ya vijana wengi kujihusisha na biashara hiyo ambayo wanayotoa katika mikoa ya Tanga na Iringa.

Licha ya biashara hiyo kutajwa kuwa na baadhi ya changamoto lakini bado imeajiri vijana na kinamama ambao hujipatia riziki zao na kuendesha maisha ya kila siku huku wakishukuru serikali kwa kuwaacha katika eneo hilo kufanya biashara hiyo.

Aidha wamesema katika kikundi hicho ambacho kina zaidi ya vijana hamsini ambao wameunganisha mitaji wengine wakisafirisha huku Baadhi yao wakiponda kuziweka katika saizi tofauti kulingana na mahitaji ya wateja wao.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa