Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Biashara ya dhahabu feki yaibuka

Jumatatu , 26th Apr , 2021

Serikali imewaonya watu wanaojihusisha na utapeli wa kuuza dhahabu feki kwa kutumia vyuma vilivyozungushiwa vumbi la dhahabu kisha kuwauzia watu, kuwa wahusika wote wa biashara hiyo haramu watatiwa nguvuni.

Kushoto ni Kaimu Afisa Madini Mkoa wa Simiyu, Mhandisi Joseph Kumburu, Kulia ni madini ya dhahabu (Picha kutoka mtandaoni)

Hayo yameelezwa na Kaimu Afisa Madini Mkoa wa Simiyu, Mhandisi Joseph Kumburu, katika mkutano wa kutoa elimu ya biashara ya madini, uliofanyika kwenye migodi ya Imalamate Wilaya ya Busega, ulioshirikisha vyombo vya kiusalama, wamiliki wa migodi na maduara, ambapo  Mkurugenzi wa Mgodi wa EMJ uliopo Dutwa, Bariadi, akashauri mgao wa mawe mgodini hapo ufanyike kila siku kuanzia leo 26/04/2021.

"Kuna watu wamenunua dhahabu, juzi tumekamata watu na dhahabu feki, wanakuja hapa na wanaleta chuma wanazungushia dhahabu, baada ya kupata hiyo taarifa tukawaweka watu kuchunguza hakuna aliyekuwa anajua, baadae tukaweka mtego tumepata na vigoroli vile, haya mambo tunawasidia nyinyi mnaibiwa, na nyinyi mkiona toeni taarifa kwetu  au polisi" amesema Mhandisi Kumburu

Aidha kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Busega Tano Mwera amesema kuwa ule mtindo wa wachimbaji kukusanya viroba ndio mgao ufanyike haupo tena badala yake mgao utafanyika hata kama mtu mmoja au wawili wana viroba.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa