Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya maua ya asili yapaa juu

Jumatano , 23rd Sep , 2020

Kutokana na kuadimika kwa biashara ya maua nchini, wadau na wafanyabiashara wa maua jijini Dar es salaam, wameiomba serikali kuhakikisha inasimamia kuanza upya kwa mashamba makubwa ya maua yaliyopo jijini Arusha ambayo kwa sasa hayafanyi uzalishaji.

Maua

"Kiukweli niiombe serikali yangu wayatizame upya yale mashamba ya maua ambayo hayafanyi uzalishaji  hasa kule Arusha na Njombe wawape wawekezaji wenye uwezo wa kuyafufua ili hili soko ambalo leo tunayumba halitakuwepo tena", amesema Angel Rwiza, mfanyabiashara wa maua Namanga Mbuyuni.

Biashara hii ya maua ya asili inadaiwa kushuka zaidi mara baada ya Covid -19 kuathiri zaidi mataifa ya jirani ambayo pia yalikuwa yakiingiza maua hapa nchini mara baada ya kushuka kwa uzalishaji hasa katika mashamba ya ndani.

Aidha biashara hiyo pia imewanufaisha baadhi ya wajasiriamali kwa zaidi ya miaka kadhaa huku wakitoa wito kwa kwa kina mama wengine kujiajiri katika biashara hiyo.

"Nina takribani miaka mitatu kwenye biashara hii ya maua sasa inapotokea Hali Kama hii kwa kweli Hali inatuwia vigumu Sana kwa Sasa kuendesha maisha", Asma Abdallah, mfanyabiashara wa Maua.

Wafanyabiashara wa maua kwa sasa wanatarajia kuwepo kwa mabadiliko mara baada ya kufunguliwa kwa mipaka hasa  kutoka nchi jirani ya Kenya

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa