Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya baiskeli za mitumba yapanda Dar es Salaam

Alhamisi , 17th Sep , 2020

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli zilizotumika (used) jijini Dar es Salaam wamesema bei ya jumla kwa baiskeli hizo imepanda kutoka shilingi elfu 40 Hadi kufikia shilingi 80(elfu themanini) kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa Covid 19.

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli wakiziandaa kwaajili ya kuwauzia wateja

Waswahili wanasema linalowezekana leo lisingoje kesho msemo huu ukisemwa na moja ya wauzaji wa baiskeli hizo ambaye ameoneshwa kuumizwa na hali ya biashara hiyo ilivyo kwa sasa kwa kuwa mataifa mengi ambayo huzifuata bidhaa hizo mengi bado yanalia na janga la Covid 19.

"Kipindi cha nyuma ulikuwa unashusha kontena haraka tuu mzigo unachukuliwa lakini saizi hapa nyuma kidogo unapesa lakini huwezi kwenda nje kufata mzigo ndo maana moja kwa moja baiskeli zimepanda bei tofauti na ilivyokuwa "-Hamis Bones muuzaji wa baiskeli

Bw Hamisi amesema biashara hiyo imeajiri watu wengi wakiwemo mafundi ambao huzirekebisha mara baada ya mzigo kufika, vijana waoshaji huku wao wenyewe wakielezea namna biashara hiyo inavyochangia katika maisha yao ya kila siku.

"Yani kiukweli kabla ya hali ya maradhi ya Covid 19 mzigo ulikuwa unatoka sana na kiukweli kipato kilikuwa kizuri tofauti na sasa zaidi tunaganga tuu ivyo ivyo"alisema mmoja ya Mafundi baiskeli Pius Adolfu.

Aidha wametoa wito kwa vijana bado muda wote wamekuwa wakilalamika juu ya ukosefu wa ajira kuthubutu kufanya lolote Ili kuondokana na adha hiyo.
Huku wakiiomba serikali kutichoka kuweka mazingira rafiki kibiashara.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa