Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea jana wakati akitangaza uteuzi wa Mawaziri waliobaki baada ya uteuzi wa kwanza.
24 Dec . 2015

Waziri wa wizara ya habari, utamaduni michezo na sanaa Nape Nnauye akizungumza katika moja ya mikutano na waandishi wa habari.
23 Dec . 2015

Moja ya Mashamba ya zao la Alizeti ambalo hutumika kutengenezea mafuta nchini.
23 Dec . 2015

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene
23 Dec . 2015