
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM), Dkt.John Pombe Magufuli

Kushoto ni mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi na kulia ni mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad.

Mlinzi wa Liverpool, Fabinho(aliyevaa jezi namba 3) akiwa chini baada ya kuumia katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Midtjylland .

Mwanariadha, Christian Coleman akiwa katika moja ya mashindano yake aliyoshiriki.

Eddie Hearn ambaye ni promota mashughuli wa mchezo wa masumbwi Duniani.

Mratibu wa klabu ya Simba, Abbas Ally(Kulia) akimkabidhi jezi Abbas Tarimba(kushoto) ambaye ni mkurugenzi wa utawala wa Sportpesa ambao ni wadhamini wa mabingwa hao wa VPL.

Lionel Messi (kushoto) na Cristiano Ronaldo (kulia)

Mzee Yussuf upande wa kushoto na Ben Pol upande wa kulia

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro.