
Carlos Tusguets ambaye ameteuliwa kuwa rais wa muda wa Barcelona

Kushoto ni mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, na kulia ni mgombea Urais Dkt John Pombe Magufuli.

Picha ya kati ni Faiza Ally, kulia ni Dogo Janja, kushoto ni kitambulisho alichotumia msanii wa filamu Riyama Ally

Rais wa Zanzibar, anayemaliza muda wake Dkt.Ali Mohammed Shein akiwa anapiga kura leo visiwani Zanzibar.

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM), Dkt.John Pombe Magufuli

Kushoto ni mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi na kulia ni mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad.

Mlinzi wa Liverpool, Fabinho(aliyevaa jezi namba 3) akiwa chini baada ya kuumia katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Midtjylland .

Mwanariadha, Christian Coleman akiwa katika moja ya mashindano yake aliyoshiriki.

Eddie Hearn ambaye ni promota mashughuli wa mchezo wa masumbwi Duniani.