Makuru
Hi friends, for real enewz inabamba kwa kila kitu, Namwomba mke wangu Mama Precious(Pilly) wa Dar, rafiki zangu wote wasiache kutazama enewz, mimi Makuru James Nyamkenga wa chuo cha Mipango Dodoma. Halaaaaa!.
Makala, Agness
Naitwa Makala Katembo kutoka Tabora pande za Isevya, nipo na best wangu Agness Haule, tunawakilisha Isevya Sec School, ujumbe ni kwamba eNewz huwa ina pagawisha kinoma HALAAAAA.
Annastazia na mama - Sylvia
MY NAME; ANNASTAZIA GOSBERT MASIGAT WITH MY MUM SYLVIA MREMI FROM UBUNGO KIBANGU DAR ES SALAAM, Hallaaaa 5 kwa; Gosbert Boniface my Daddy, Familia ya Mary Mushi Mramba na Mr Mramba.
Muddy Best
AJE WADAU WA E-NEWZ? NIKIWAKILISHA WAJANJA CLASSIC TEAM MEDIA KAHAMA five kwa MUDDY BESTY.. SAMWEL MAHONA.. YOUNG WALEO.. SHADRACK MAFIE.. KASANGA MRISHO.. AYOUB BAKARI. TUKO PAMOJA SANA.