Mambo vipi ndugu mtangazaji? Tokea kipande cha kwanjeka Tanga call me Juma Zungu Real alongside Shomary Kombo Mtunguja tunakodoa enewz tukiwa na wenetu flani call her King Joker na Timilai Shemalamba.
Lameck Sam
Mi naitwa Lameck Sam kutoka Simiyu! Channel five nawafeel sana kwa habari za uhakika! Hala five.
Gladys
Naitwa Gladys namsalimia Baba yangu Steven na mama yake Agnes wote wakiwa Dodoma holla five kwa wote wanaocheki eatv.