![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-86.jpg?itok=SXbpmnv1)
Mtangazaji wa shindano la Dance100% 2014 Tony Albert au kwa jina maarufu T-Bway 360 akiingia kwa mbwembwe kiwanjani ili kuanza rasmi mashindano hayo, mashindano yalikuwa hatua ya Robo Fainali yaliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-87.jpg?itok=l7Vwe7Ik)
Menina Atick mtangazaji wa shindano la Dance100% akiingia kwa madaha ya kudansi katika mashindano ya hatua ya Robo Fainali yaliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco - Oysterbay, mashindano ya Dance100% yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-3_1.jpg?itok=opyJJRFJ)
Mmoja wa majaji wa shindano la Dance100% Queen Darleen akifanya yake wakati akiingia, mashindano ya Dance100% yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania huku kinywaji rasmi kikiwa ni Grand Malt..
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-4_1.jpg?itok=jiQT1o1V)
Kundi la B2K likionesha ubunifu wao wa kudansi katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya Dance100% 2014 yaliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-13_2.jpg?itok=L6IQFB3a)
Kundi la Mazabe Powder wakionesha ufundi wao wa kudansi katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya Dance100% 2014 yaliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-21.jpg?itok=otW97ZEB)
The Winners ni moja ya makundi yalioshiriki katika hatua ya Robo Fainili ya Dance100% 2014 yaliyofanyika Don Bosco _ Oysterbay jijini Dar es salaam, Mashindano hayo yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania na kinywaji rasmi ni Grand Malt.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-33.jpg?itok=ypxWNwU7)
Kikundi cha TWC kikionesha ubunifu wake wa kudansi katika mashindano ya Dance100% hatua ya Robo Fainali.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-82.jpg?itok=S5T1OEaM)
Baadhi ya Mashabiki wa Dance100% waliojitokeza kutazama wakiangalia kwa makini ufundi na ubunifu unaooneshwa na makundi yaliyofika hatua ya Robo Fainali, mashindano hayo yalifanyika katika viwanja vya Don Bosco - Oysterbay jijini Dar es salaam
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-41.jpg?itok=QS2vcNsH)
Watangazaji wa shindano la Dance100% Mtangazaji Tony Albert au T-Bway akiwa sambamba na Menina Atick.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-47.jpg?itok=x5tEwlMi)
Pambana Fasaha kundi la kudansi likionesha uwezo wake katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya kudansi ya Dance100% yaliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco - Oysterbay jijini Dar es salaam, Mashindano yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-76.jpg?itok=k1XOC16L)
Kundi la Wakali Sisi wakionesha uwezo wao katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya Dance100% yaliyofanyika Don Bosco - Oysterbay jijini Dar es salaam. mashindano yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania na kinywaji rasmi cha mashindano ni Grand Malt.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-64.jpg?itok=ZEzqmZep)
Vijana wa Grand Malt wakionesha ubunifu wao wa kuchezea baiskeli wakati wa mashindano ya dance100%, Grand Malt ndio kinywaji rasmi cha mashindano ya Dance100% 2014 huku yakidhaminiwa na Vodacom Tanzania.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-69.jpg?itok=t3Uyvh1Y)
Bustani Dancers kundi la kudansi likionesha uwezo wake katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya kudansi ya Dance100% yaliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco - Oysterbay jijini Dar es salaam, Mashindano hayo yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-74.jpg?itok=673yXxCX)
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-80.jpg?itok=IaCG-UrU)
Baadhi ya Mashabiki wa Dance100% waliojitokeza kutazama wakiangalia kwa makini ufundi na ubunifu unaooneshwa na makundi yaliyofika hatua ya Robo Fainali, Mashindano hayo yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania na kinywaji rasmi ni Grand Malt.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-78.jpg?itok=nnHG253b)
Quality Boys wakionesha uwezo wao wa kudansi katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya Dance100% yaliyofanyika Don Bosco - Oysterbay jijini Dar es salaam.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-83.jpg?itok=_3PSu0jN)
Kundi la Dar Crew wakionesha uwezo wao katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya Dance100% yaliyofanyika Don Bosco - Oysterbay jijini Dar es salaam. mashindano yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania na kinywaji rasmi cha mashindano ni Grand Malt.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-85.jpg?itok=NAkzrJ_0)
Kundi cha The W-T likionesha Ubunifu wake wa kudansi katika mashindano ya Dance100% hatua ya Robo Fainali.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-89.jpg?itok=OMEtBTJ9)
Kundi la Best Boys Crew wakionesha ufundi wao wa kudansi katika hatua ya Robo Fainali ya mashindano ya Dance100% 2014 yaliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-88.jpg?itok=JXrbwA6L)
Wazawa Crew ni moja ya makundi yaliyofika katika hatua ya Robo Fainali ya Dance100% 2014 yaliyofanyika Don Bosco - Oysterbay jijini Dar es salaam, Mashindano hayo yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania na kinywaji rasmi ni Grand Malt.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/Untitled-90.jpg?itok=Lz_q7QU0)
Watangazaji wa shindano la Dance100% Mtangazaji Tony Albert au T-Bway akiwa sambamba na Menina Atick wakiwa kwa pamoja na makundi kumi (10) yaliyofanikiwa kuingia hatua ya Nusu Fainali.