Katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii nchini Tanzania Dkt. Donald Mbando.
Wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakitoa matibabu kwa wagonjwa wa kipindupindu.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013