Waziri wa Kazi na Ajira ambae pia alikua anagombania kupitishwa kugombea Jimbo la Tarime Mjini Gaudensia Kabaka akizungumza katika moja ya mikutano na Umoja wa Madereva
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.