Katibu wa ccm wilaya ya Arusha mjini Feruzi L. Bano kulia akimpa maelekezo mtia nia wa kugombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ccm
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro Jana