Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Juma Chum Khatibu na Mkimbiza mwenge mwezake wakiwatwisha ndoo za maji wananchi katika moja ya miradi ilizinduliwa na Mbio hizo.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.