Mbunge wa jimbo la Kyela Dk Harison Mwakyembe
MBUNGE wa jimbo la Kyela na waziri wa Afrika Mashariki Dr,Harrison,Mwakyembe akihutubia wananchi katika mkutano wa Hadhara.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013