Baadhi ya mabasi yanayofanya safari zake kutoka kituo kikuu cha mabasi Ubungo na ambayo Sumatra imekuwa ikisisitiza kuwa yapulizwe dawa kuua mbu wanaosambaza homa hatari ya Dengue.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.