Jezi mpya za Taifa Stars zilizozinduliwa leo kutoka kushoto ni Jezi ya mazoezi, Jezi ya nyumbani na jezi ya ugenini
Mpanzua na viongozi wa Simba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescentius Magori na Inno Loemba