Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimsabahi rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013