Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Zao la Korosho, Bw. Athuman Nkinde (kushoto), akikabidhi mche bora wa zao la korosho kwa mmoja wa wadau wa zao hilo.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.