Mayweather kushoto akimsukumia konde Pacquiao katika mpambano wao alfajili ya hii leo
Mayweather akinyoosha juu mkono kama ishara ya ushindi muda mfupi baada ya pambano hilo kufikia mwisho.
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Picha ya Mrembo Poshy Queen