Waziri wa maliasili na Utalia Lazaro Nyarandu akiwa katika kikao na Viongozi wa Mkoa wa Iringa wa kwanza kushoto ni Waziri wa Ardhi Nymba na maendeleo ya Makazi mh Wiliam Lukuvi.
Aliewahu kuwa Waziri katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi,na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Marehemu Bi. Asha Bakari Makame