Onesmo Olengurumwa (kulia|) akiwa na mmoja wa wakazi wa Liliondo ambao walifanya maandamano yao jijini Dar es Salaam kuelezea hisia zao kuhusu mpango wa kutaka kupora ardhi yao.
Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.