Nahodha msaidizi wa timu ya Tanzania ya watoto wa mitaani Frank Wiliam akimkabidhi kombe Waziri Mkuu Mizengo Pinda timu hiyo ilipotembelea Bungeni leo (April 11 2014)
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo Janeth Rithe