Moja ya miradi nya utafutaji mafuta na gesi ambayo uongozi wa shirika la maendeleo ya petroli TPDC umeshindwa kuweka wazi mikataba yake.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.