Francis Miyeyusho akiwa hoi baada ya kupigwa kwa TKO na Sukkassem Kietyongyuth wa Thailand. Hii ilikuwa April 19 mwaka huu katika ukumbi wa PTA-Sabasaba. Pambano hilo halikuwa la ubingwa.
Magoli ya Simba SC yamefungwa na Leonel Ateba Mbida aliyefunga dakika ya 35 na 45 kipindi cha kwanza magoli hayo Ateba amefikisha magoli 5 katika ligi kuu Tanzania bara akionekana kuendelea kuimarika kadri siku zinavyozidi kwenda akiwa na kikosi cha Wekundu wa Msimbazi.