Mwanasheria mkuu mstaafu wa serikali Jaji mstaafu Mark Bomani (wa kwanza kulia) akiwa katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.