Mfungaji wa goli la kwanza la Yanga Simon Msuva akiwania mpira na beki wa Esperanca.
Wachezaji wa Yanga Salum Telela [kushoto] na Malimi Busungu [kulia]
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013