Timu hiyo inayonolewa na Kocha Sead Ramovic raia wa Ujerumani imeshinda mchezo mmoja tu dhidi ya Namungo FC ikipoteza dhidi ya Azam FC, Tabora United,Al Hilal,MC Algers na kutoka sare dhidi ya TP Mazembe katika mchezo wa makundi wa ligi ya mabingwa Afrika.