Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa pamoja na Mama Janeth Magufuli na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango (wa pili kulia) akikabidhi tuzo maalum kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya kuzalisha na kusambaza nishati ya gesi ya nyumbani ya Taifa Gas Limited, Devis Deogratius (kushoto).