Baadhi ya mabondia wa timu ya taifa wakiwa katika mazoezi.
Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi ya Tanzania wakiwasili baada ya kutoka nje walikoenda kushiriki moja ya mashindano.
Kocha mkuu wa Stars Mkwasa akizungumza na waandishi wa habari
Henderson akibusu kombe la EPL
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango (wa pili kulia) akikabidhi tuzo maalum kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya kuzalisha na kusambaza nishati ya gesi ya nyumbani ya Taifa Gas Limited, Devis Deogratius (kushoto).