Moja ya mitambo inayotumika katika utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi katika kina cha bahari kuu.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.