Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Viwanda na Biashara Dkt Dalali Peter Kafumu.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.