Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa neno la faraja kwa Mjane wa baba wa taifa Mama Maria Nyerere (kulia). Kulia ni Mkewe Mary Majaliwa.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.