
mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo cha EATV Dulla aka Mjuku wa Ambua

mtangazaji maarufu wa kipindi cha Nirvana cha EATV Deogratius Kithama akiwa na tuzo ya SFW

Timu ya EATV na Madansa Mitaani leo

Meneja Mahusiano Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu akiwa (katikati mwenye T-Shirt nyeusi) na kundi la Mazabe Powder katika kambi yao Tegeta Dar es Salaam leo.

Mkurugenzi mkuu wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC) Bi. Hellen Kijo-Bisimba.
Gari aina ya Toyota Vits ambayo itatolewa kama zawadi kwa mshindi wa shindano la urembo la Miss Tanga