Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC Dk. Ramadhani Kailima, Kulia Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Sheria NEC Bw. Emanuel Kawishe Wakizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.