Mwenyekiti wa jopo la ngazi ya juu la Umoja wa Mataifa kuhusu jitihada za kimataifa wakati wa mizozo ya kiafya Jakaya Kikwete.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.