Makocha wa Serengeti Boys ya Tanzania na The Pharaohs ya Misri wakizungumza katika mkutano na waandishi wa habari hii leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013