Mbunge wa Jimbo la Ludewa, Deo Ngalawa akiongea na Wananchi wa Jimbo lake.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.