Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Mizengo Pinda akiwakabidhi makombe washindi wa mchezo wa mapigano.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Mtangazaji na Dj mkongwe wa kituo maarufu cha EA Radio Emsley Smith aka Baba T