Kikosi cha timu ya JKU ya Zanzibar ambacho leo hii kimepoteza mchezo wao dhidi ya Sports Club Villa ya Uganda.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013