Kocha Mkuu wa Serengeti Boys Bakari Shime [kulia] na Afisa habari wa TFF Baraka Kizuguto [katikati] pamoja na mshauri wa ufundi wa Serengeti Boys Kim Paulsen [kushoto]
Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akipokea tuzo, Meneja wa Vipindi wa East Africa Radio, Lydia Igarabuza akiwa ameshikilia tuzo yake (katikati) na kushoto ni Beatrice Bandawe Mhariri Mkuu wa gazeti la Nipashe.