Kocha Mkuu wa Serengeti Boys Bakari Shime [kulia] na Afisa habari wa TFF Baraka Kizuguto [katikati] pamoja na mshauri wa ufundi wa Serengeti Boys Kim Paulsen [kushoto]
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.