Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akiwaelezea wananchi wa kijiji cha Damai Kondoa malengo ya kuzindua msimu wa kilimo mwaka 2015 Mkoani Dodoma
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.