Kaimu kocha mkuu wa timu ya Simba Mganda Jackson Mayanja.
Kikosi cha timu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.