Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatusi Kinawiro