Mwakilishi mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kilimo na Chakula FAO nchini Siera Leone Dkt. Gabriel Rugalema.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.