Marais wa nchi Tano zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kwa sasa Mwenyekiti wao ni Dkt. Jakaya Kikwete wa Pili kushoto.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.