Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bi. Sophia Simba.
Makamu mwenyekiti wa Umoja wa wabunge wanawake wa nchi za Jumuiya ya madola kanda ya kaskazini, Beatrice Shelukindo.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk